JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Humu si kila mtu ni mwanadamu mengine ni majini usiku ndio yanakuwa active.Jini likicomment kwenye Ujumbe wako linasafiri na ujumbe wake kama data kufuata Ujumbe wako ulipoanzia kuandikwa.Kwakuwa umeandika kutoka kwenye simu au computer huo ndio unakuwa mlango wake wa kutokea na kujumuika na wewe hapo kitandani unapolala
uongo na umbea :

Delta Force

 
mm nimeamka hapa usingizi umekata naiwaza kesho yangu.
 

Attachments

  • download-1.jpg
    download-1.jpg
    68.9 KB · Views: 20
ndio mkuu! si unajua tena fursa hizo lazima tushirikishane, nasi tupate kaona kauwezo chako cha kuyamwaga,pengine tutaambulia kitu mkuu
Usijali hapa sio mahala pake mkuu tukutane jukwaa la wakubwa au kwa mitisa....
Though sijamuona mda mrefu sijui wamem Ben saa8
 
Atatuhudumiaje wote sasa? Lazima upande mmoja utamwelemea
Hata mue kumi kidume mmoja manapewa vibendi na hakuna kuelemewa kachukue chako uvae madela sisi tuendelee kuchomekea [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom