ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama unavyoandika unaonekana una usingiz mkuu, herufi huumbi vizur mkuuWadau huku usingizi sina kabisa.wapi kuna kijiwe cha stori nikapitezee muda[emoji15] [emoji15]
Mkuu usingizi hakuna kabisa.labda somo la mwandiko sikulimudu barabaraMbona kama unavyoandika unaonekana una usingiz mkuu, herufi huumbi vizur mkuu
[emoji15]
Mkuu usingizi hakuna kabisa.labda somo la mwandiko sikulimudu barabara
Ohoooo! Nipo Hapa....namalizia kipindi cha lala salama.
Usisite kuja bas mida ikiwadia
Panda
Pole baba Tina mimi kumekucha zamani kwangu hivi nimemaliza Bf naondoka kwenda kwenye kibarua ila wanasema septrin zinasaidia sana magonjwa hayo.Namsikilizia wife anakoroma tu hapa pembeni yangu...mie tangu saa tatu usiku tumbo linanipigisha marktime kadhaa za maliwatoni...mpaka dakika hii nshagonga safari za toileti kama 4 hivi
Aisee wewe bundi, lala banaPanda
Mbona umechangia au unaota?Mada hii mmmmh..wa kulala wacha tulale na wenye kazi zao za kukesha chapeni kazi.
Ww mbona ulaliMbona umechangia au unaota?
Mimi kumekucha na naenda kibaruani sasa hiviWw mbona ulali
Na mimi naomba icho kibaruaMimi kumekucha na naenda kibaruani sasa hivi
Hahaha cha kunisaidia bustani labda maana mimi ni msafisha barabara tu.Na mimi naomba icho kibarua
Mbona umechangia au unaota?