JamiiForums Usiku wa manane

Kweli jana niliiona nguvu yenu,maana baada ya sekunde 30,nililala fofofo .....sijui ndo ulinipeleka shamani kwako [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Kumbe ndo janja yenu...kupalilia ndoa kabla na baada ya usiku wa manane eeeh! [emoji12] [emoji12]
 
Kweli jana niliiona nguvu yenu,maana baada ya sekunde 30,nililala fofofo .....sijui ndo ulinipeleka shamani kwako [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Kumbe ndo janja yenu...kupalilia ndoa kabla na baada ya usiku wa manane eeeh! [emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nilikupeleka tu kukagua utendaji kazi wa wengine, sijui kwanini kila nikitaka kukulimisha kamoyo kananiambia nikuache[emoji12] [emoji40]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nilikupeleka tu kukagua utendaji kazi wa wengine, sijui kwanini kila nikitaka kukulimisha kamoyo kananiambia nikuache[emoji12] [emoji40]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] utii moyo wako uniache,maana kama kwa kukagua tu niliamka nikiwa hoi nikilima je?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] utii moyo wako uniache,maana kama kwa kukagua tu niliamka nikiwa hoi nikilima je?
Hahaha huwaga tunapewa ruhusa ya kumtetea mtu Mara moja tu, mara ya pili kauli ya Mukulu inahusika.[emoji85]
 
Ngoja nizidishe maombi ukija leo utakutana na moto wa nguvu...[emoji4] [emoji4] [emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unajua unavyoendelea kujifanya na maombi yako, tuko na wenzangu ni full vicheko, sababu radar inasoma imani hiyo huna,[emoji24]
Ungejua wenzangu wanavyokutamani[emoji39] Bila msaada wangu bibie utapata tabu sana.[emoji124]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…