MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Mimi ndiyo kunakucha mkuuAnza wewe basi
Tupo mzigoni comrade
Sikukuu inaenda mubashara na weekendi lainiEbwanaa eeh, halafu leo hii wikendi aisee
Ukifungua jf haiwezi kukuacha salama wangu salama yako usichungulie kabsaaaYaani acha tu. Nakuwa nachoka kwa pilika pilika za mchana,so najitahidi kuwahi kupumzika. Huwezi amini naingiaga kitandani Saa 4ili niwahi kulala,nashtukia nafika mpaka Saa saba nazurula jf[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hata mimi nawaonaSikukuu inaenda mubashara na weekendi laini
Aisee keshajichokea huyo mbaya zaidi hafi ng`o
Wewe unaruka majoka au unejichimbia wap!??Hata mimi nawaona
Huko kukaa bila kuchungulia sitoweza [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nishafeli huo mtihani.Ukifungua jf haiwezi kukuacha salama wangu salama yako usichungulie kabsaaa
Rafiki anaendeleaje?
Anatafuta network...Aisee keshajichokea huyo mbaya zaidi hafi ng`o
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mii hua napitaga kimya nikiwa mchovu au huonagi nyayo zangu?Huko kukaa bila kuchungulia sitoweza [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nishafeli huo mtihani.
Kanaendelea vizuri,tunashukuru.
Wewe unaruka majoka au unejichimbia wap!??
HahahahaMi ndo mida yangu hii ya KUBUNDI mkubwa. Ili nchi iendelee ina hitaji mambo fulani hivi, nakumbuka la tano ni walinzi wa usiku!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, inaelekea unajali afya yako kwel ,ila mwili haujengwi na matofali comradeMkuu mimi nimekaa sehemu moja hivi napata kikombe cha Kahawa
Atapata na msiba juu huyuAnatafuta network...
nakuona umekuja na style mpya...
Mdo mdo tu mkuu tupo tunang'aa sharubu kama za paka tu na Eid hii.Vp weekend inaendaje
Kama kawaida mkuu.Habali mkuu nakuona ukiwakilisha
Aisee, inselekea unajali afya ysko kwel ,ila mwili haujengwi na matofali comrade
Leo tupo kwenye mgomo hatutaki kufumba machoDuuuh jamani hamlali?
Leo tupo kwenye mgomo hatutaki kufumba macho
Ndomanake nakutaga nyayo tu wote mshapita ha ha haaaaKama kawaida mkuu.
Mida yako hii siku hizi unaingia ya wanga kabisa