JamiiForums Usiku wa manane

Kweli ila wenzetu wanasema ukilala sana utakuwa maskin sasa sijui hiyo kauli ina ukwel ndan yake au la

Kinachoondoa Umasikini duniani ni kutumia vipaji vyako kwa bidii na kukomboa muda.
Kwasababu unaweza ukawa unalala masaa mawili unapata pesa kibao lakini hazikupi raha wala hupati muda kuzitumia,
Hii ndiyo aina mbaya ya Umasikini kuliko zote.
 
Kinachoondoa Umasikini duniani ni kutumia vipaji vyako kwa bidii na kukomboa muda.
Kwasababu unaweza ukawa unalala masaa mawili unapata pesa kibao lakini hazikupi raha wala hupati muda kuzitumia,
Hii ndiyo aina mbaya ya Umasikini kuliko zote.
Hiyo nayo point unakuwa na hela ila huishi kwa raha dunia hii bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…