Sijakuelewa. Kwanini waziondoe?Maserati natamani Jf wangeondoa Avator ...yaani Avatar kama wigi tuu[emoji13] [emoji13] [emoji13]
carnte himself
Tupooo..!!Humu ndani mpo kweli???
We mwenyewe unaboa....saa 12 asubuhi ndo unaonekana kilingeni! Why?
Sasa Maserati kama Mimi navyokuzimikia hivi[emoji13] unakuta kumbe namzimikia Beyonce bila kujua only ushamba Wangu tuu tehSijakuelewa. Kwanini waziondoe?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] unazmikia jitu baya hatariSasa Maserati kama Mimi navyokuzimikia hivi[emoji13] unakuta kumbe namzimikia Beyonce bila kujua only ushamba Wangu tuu teh
carnte himself
Ukiutaka siku ingine nenda participated utaukuta
Hatari halafu ukute nshaanza kukokota mpira toka mbali...Maserati Wangu wee compassion inaingia nafanyaje...naamua kusema basi sawa...zis iz not gud[emoji23] [emoji23] [emoji23] unazmikia jitu baya hatari
Watalala subili 7:30 tu
Mamboo?Tupooo
'Sura sio roho'....anaweza kuwa na sura mbaya lakini akawa na roho nzuri ajabu![emoji23] [emoji23] [emoji23] unazmikia jitu baya hatari
Umefungua uzi leoNey nisaidie kuwaita popoz
Nataongea na Maxence Melo Avatar ziwe za wanyama tuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] unazmikia jitu baya hatari
Kama kawa...umeadimikaga shida nn?Umefungua uzi leo
Hatuna wakutulaza [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Asante kwa kutufungulia geti mamy!Humu ndani mpo kweli???
Thubutuuuu. TutakimbiaNataongea na Maxence Melo Avatar ziwe za wanyama tuu
carnte himself
Sija adimika naingia mida usha lala weweKama kawa...umeadimikaga shida nn?
Hapo sawa[emoji2] [emoji2]'Sura sio roho'....anaweza kuwa na sura mbaya lakini akawa na roho nzuri ajabu!