Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh teh, ahsante mkuu me nimetoka kushtua muda si mrefu aiseh ila haka kabaridi nadhani na mimi nitaparamia sufuria muda si mrefu 🙂 🙂Tupooooooooooooooooooooo! Karibu napata msosi saa hizi....Si unajua njaa ya night,nimedamkia Jikoni.
Njama sijuwi za kwakoHatari
Hahahaha kwa nini?Hatari
Njaa Ya Usiku Noma Sana, Hukawi Kuangusha Masufuria Jikoni HahahahaaaTeh teh teh teh, ahsante mkuu me nimetoka kushtua muda si mrefu aiseh ila haka kabaridi nadhani na mimi nitaparamia sufuria muda si mrefu 🙂 🙂
Chumba cha pili jamaa kaingia na chuda sasa hivyo vilio vinavyotoka hapo ni janga aiseeee, usingizi wangu wote umekata.Hahahaha kwa nini?
Duh! Pole sana, kuna mijitu ambayo ustaarabu ni zero kabisa!Chumba cha pili jamaa kaingia na chuda sasa hivyo vilio vinavyotoka hapo ni janga aiseeee, usingizi wangu wote umekata.
Yaani starehe kwake kwetu karahaDuh! Pole sana, kuna mijitu ambayo ustaarabu ni zero kabisa!