Ndomana nikasema nnashaka na wewe ana kila ukiingia humu unapotea na kuonekana tena baadae utakua umemficha ndugu yangu si bureUkifanikiwa kurudi naomba uniambie iceman 3D yupo wapi jaman siwezi kuvumilia kumpoteza baby wangu kirahisi namna hiyo, Manga tafadhali uje na majibu yaliyonyooka.
Ataniteka nani mie? Labda nijiteke mwenyewe ili nami niionje ladha ya kutekwa πππSawa lakini kwa shingo upande ujue au na wewe ndo unatekwa ivyo[emoji85] [emoji125]
Haika Mshiki oko mkunde, ma inyi ngikundi richa, ngihombia kweli[emoji40]Ulae sekoni msacha oko
ngoja nikusindikizeNaona niko mwenyewe acha nijilaze kimya kimya
Hahaha mkuu huu uchochezi ujue[emoji40] [emoji125]hahahah ndo maana kaka mwenyewe anasema ndoto za j5 na alhamisi zina ulakini...nashindwa kuelewa kwanini haziamini wakati zimethibitisha ulichokuwa unakiota kuwa ni kweli
Hahahah unaogopa nitakuaga kwa maneno yale,sio? Sikufanyi hivyo best,nduguyo Nleterewa Nganengo asijenishtaki bureNaona niko mwenyewe acha nijilaze kimya kimya
Nipo nipo kiongozi habari ya wewe
Njoo nikuonjeshe ladha yake, ila mimi nikikuteka sidhani kama utarudi, style yangu ni ile ya kukufungia kwenye mifuko ya sandarusi na kutumbukizwa baharini[emoji85] [emoji125] [emoji125]Ataniteka nani mie? Labda nijiteke mwenyewe ili nami niionje ladha ya kutekwa πππ
hahaha na mkojo wa kutosha sina aiseeHahaha mkuu huu uchochezi ujue[emoji40] [emoji125]
Ha ha haaa kale kaugonjwa ka kumuacha jirani yako naona kamerudi
tena coco beachNjoo nikuonjeshe ladha yake, ila mimi nikikuteka sidhani kama utarudi, style yangu ni ile ya kukufungia kwenye mifuko ya sandarusi na kutumbukizwa baharini[emoji85] [emoji125] [emoji125]
Ohooo wacha nijirestishe mwenyewe,maana naona unataka niote ndoto mbaya japo umesema ndoto za leo ni za uongoNjoo nikuonjeshe ladha yake, ila mimi nikikuteka sidhani kama utarudi, style yangu ni ile ya kukufungia kwenye mifuko ya sandarusi na kutumbukizwa baharini[emoji85] [emoji125] [emoji125]
Mkuu huyu siku izi nasikia ametekwa na kupiga chabo kwa jirani, anachungulia tu na kupotea na jirani yake[emoji40]Nipo nipo kiongozi habari ya wewe
Hahaha nisubiri bana turest wote, ujue niko tayari kung'olewa kucha na meno kwa ajili yako[emoji85] [emoji40] [emoji125]Ohooo wacha nijirestishe mwenyewe,maana naona unataka niote ndoto mbaya japo umesema ndoto za leo ni za uongo
Hahaha kabisa mkuutena coco beach
Hili neno limezoeleka mahala pasipo pendwa na watu tafdhali usilitumie kwa mapumziko mafupiHahahah kwanini lakini hampendi kupumzika kwa amani nyie watu? Mnapenda sana vurugu,purukushani na makelele sio?
Unatoroka lindo lako eeh?Leo uko vizuri,wacha nikuachie kijiti............nipumzike zangu kwa amani! πππ
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106]Una rest in peace sio?
Hewalaaa ache kutupumzisha hali yakua tuna hema bhanaKama kupumzika kwa amani ndo R.I.P wacha niendelee na vurugu na purukushani zangu[emoji6]