JamiiForums Usiku wa manane

Jaman tulipigiana cm tu hatukukaa, ndo nikamuuliza akanijibu atakuja kujibu mwenyewe[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji85]
Hahaha unavyojitetea mkavu utasema unaongea kweli. Haya hebu niambie siku hizi hadi kukaguana mnafanya kwa kutumia simu?[emoji85]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…