JamiiForums Usiku wa manane

Sasa niharibie kwa shemeji yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona unataka kumsababishia jirani yangu matatizo makubwa jamani
Hahaha palipo na jirani hua hapaharibiki neno, maandiko yanasisitiza kumpenda jirani kama "nafsi yako" na sio mumeo.
Mumeo yake "heshima tu" basi.[emoji40] [emoji85]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…