JamiiForums Usiku wa manane

Aah! Kutoka Msamaria hadi Mfilist? Mnaona matokeo yake mwenzenu leo kaondoka kimya kimya hata bila kuaga...au kweli mahari inahusika?
Mi nakwambia hutaweza kuchoche hizo kuni ni mbichi, wajifanya hunielewi ....mahari bado nusu haijalipwa [emoji4] [emoji4]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Unanivunja mbavu mie.....kuna rafiki yangu huwa anasema usione wengine hawaoi mbavu zao zililiwa na fisi.
Hahaha ndo maana nafunga na kusali hata kama imeliwa iwe angalau nusu na nusu iliyobaki niipate, hiyo ni afadhali kuliko Nzima Isiyo Ubavuwo[emoji40]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…