Aisee kwa kelele za hawa vyura,hata tembo hawezi kunywa maji nakuambia, maana zimezidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nendeni tuuAu nasie twende PM? Hahahahaaa
Karibu sana! Unamaliza lindo saa ngapi?Niko lindoni
Tunakupenda....tafadhali usithubutu kwenda huko,hutarudi hapa....utapotelea huko oooh![emoji2] [emoji2]Basi mie naenda mwenyewe huko PM..nataka tu japo nikapaone panafananaje?
Umeajifunza lini uchochezi? [emoji12] [emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nendeni tuu
Mtaa mzima hatujalala nakuambia.....majirani zangu nawasikia wanavyolalamikia hizi kelele za vyuraKwa sababu uko macho, wengine wamelala totoro
Mefundishwa na mwalimu wako [emoji125][emoji125][emoji125]Umeajifunza lini uchochezi? [emoji12] [emoji12]
Daah poleni sana aiseehMtaa mzima hatujalala nakuambia.....majirani zangu nawasikia wanavyolalamikia hizi kelele za vyura
Usingizi sio maji, ni vitu viwili tofauti[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani ni shida! Nimekaa nikafikiria hivi wahenga walivyosema kelele za chura hazimkatazi tembo kunywa maji walitafakari sawasawa kweli? Mbona mimi zinaninyima usingizi [emoji18] [emoji18]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mwalimu wangu nimemhamu kweliMefundishwa na mwalimu wako [emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] Ooooh!Usingizi sio maji, ni vitu viwili tofauti
Mwalimu wako anahali mbaya sana aiseeh, embu mtafute umpe pole[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mwalimu wangu nimemhamu kweli
Umemficha wapi? Maana mara ya mwisho alinambia anakuja kwako umfunze kiinglish....
Kumbe kafika na kukufunza uchochezi tena? [emoji4] [emoji4]
[emoji134] [emoji134] [emoji134] Amekuwaje tena jamani?Mwalimu wako anahali mbaya sana aiseeh, embu mtafute umpe pole
Lala unono mpenzi [emoji7] [emoji7]Guys love you all, naomba niwakimbie [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kesheni salama
Una wapenzi wangapi?Lala unono mpenzi [emoji7] [emoji7]