Ohooo pole sana mydear, basi tupumzike wote hapa au waonaje? [emoji4]Asante madam, mana leo nimeazima usingiz kwa jiran
Okey babyHaya nakuja bae wangu...daaah
hongera kwa kweli na ni jambo la Kumshukuru Mungu pia!! siku nzima leo ulikua kitandani,, ??kuna watu wamesha achishwa kaz kwa ajili hiyo ya unemeAhahahaaaaaa haiwezekani kabisa, namshukuru Mungu kwakweli weekend ndio hiyo imeishia kwa kitanda [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimefurah umeme haujakatika
Oooh! Wakati unahangaika kuniziba mdomo vidole vitakuwa vinatangazia umma......chezea ulimwengu wa digital wewe!Nitakuziba mdomo haina shida
kwa Thad nitaenda mimi mwenyewe ila wivu usioneOkey baby
Numekujamo tupumzike mwayaOhooo pole sana mydear, basi tupumzike wote hapa au waonaje? [emoji4]
Thad siku moja nitakuja nyumbani kwako PM kukupa mrejesho wa ile tiba[emoji23] [emoji23] [emoji23] twende wote mwaya....(nilivyo shilawadu watu wote watajua mlichokiongelea huko)
Sio nzima, nilimaanisha usiku huu kwamba sikuwa na movement zozote zaidi ya kupumnzika tuu.hongera kwa kweli na ni jambo la Kumshukuru Mungu pia!! siku nzima leo ulikua kitandani,, ??kuna watu wamesha achishwa kaz kwa ajili hiyo ya uneme
Karibu sana! Nakutakia mafanikio memaThad siku moja nitakuja nyumbani kwako PM kukupa mrejesho wa ile tiba
Pamoja sana ThadKaribu sana! Nakutakia mafanikio mema
aisee, safii kweli karibu msoc hapa mim ndio nakula baada ya pilika pilika huku na kuleSio nzima, nilimaanisha usiku huu kwamba sikuwa na movement zozote zaidi ya kupumnzika tuu.
Aliyejuu mngoje chini wenye mamlaka tuwaache na mamlaka zao sisi wanyonge tunamkabidhi Mungu tuu no way out.
Ahahahaaaaaa karibu sana kijiweniNumekujamo tupumzike mwaya
OhoooOooh! Wakati unahangaika kuniziba mdomo vidole vitakuwa vinatangazia umma......chezea ulimwengu wa digital wewe!
Sina wivu nakuamini [emoji6]kwa Thad nitaenda mimi mwenyewe ila wivu usione
nawe pia msalimie mwenzio..!! hapo ...[emoji4]Wapendwa wacha niwakimbie...nataka nikawahi misa ya kwanza nisije nikakosa siti!
Nawatakia kila la heri wapendwa wangu!
Mambo ya tiba tenaThad siku moja nitakuja nyumbani kwako PM kukupa mrejesho wa ile tiba
Thad usijali huna alarm mtu?Wapendwa wacha niwakimbie...nataka nikawahi misa ya kwanza nisije nikakosa siti!
Nawatakia kila la heri wapendwa wangu!
ndio tiba kwa afya baby..ni tiba nzuri tuMambo ya tiba tena
Asanteh sana rafiki, wewe endelea ukimaliza tutajumuika pamoja.aisee, safii kweli karibu msoc hapa mim ndio nakula baada ya pilika pilika huku na kule