JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Niko poa sana aisee! Niliwahamu tu wewe na wenzio akina;
Nleterewa Nganengo (mwl.wangu)
Kichwa Kichafu (jirani yake Neybright)
No Escape (mmiliki wa kampuni hii)
jje's (.....wa K.K)
Samaritan (anitishiae bawa)
Na wengineo...umewaacha wapi hao watu jamani? Inamaana wao bado wanajukumuka tu? [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Thad siku mingi sijaonekana humu njoo basi
 
Back
Top Bottom