Jerry santonga
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 645
- 562
Bia hiyo ni nzito...akiweza kukata balimi hizi serelite atakua anaona kama juice balimi bia ya kisukuma ile ni.shidaKwanini mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bia hiyo ni nzito...akiweza kukata balimi hizi serelite atakua anaona kama juice balimi bia ya kisukuma ile ni.shidaKwanini mkuu?
[emoji3] [emoji3]Hata usijisumbue bure....mie sibebishiki, ni wivu tu unanisumbua nikiona wanaobebishana [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimeona wote mnanipa pole kavu tu, ikabidi niombe hata sharubati/juisi kijanja
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa hili naona umekubaliana na wahenga [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli nimeamini "every man has a price"
Bila shaka umependa zaidi ua kuliko boga lenyewe [emoji126] [emoji126]
Hahaha huoni wamepotea pamoja, itakua jirani kaitwa sirini akatoe maelezo[emoji40][emoji23] [emoji23] [emoji23] bila shaka hata wewe unatamani kuwafahamu!
Umeona eeeh!Hahaha huoni wamepotea pamoja, itakua jirani kaitwa sirini akatoe maelezo[emoji40]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] Nimeshaghairi siushoni tena mdomo wangu... ukiniponza itakuwa ajali kazini tu! Baki na sindano yako[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uchochezi huu sasa, ngoja niwahishe Uzi na sindano fasta[emoji125]
Mkuu, jaribu hii dawa ni nzuri sana kwa kuleta usingingizi:-Usingizi sina
Lakini tungeanzisha group la wasap admin awe nganeno
[emoji3] [emoji3] [emoji119] [emoji42][emoji2] [emoji2] [emoji2] Nimeshaghairi siushoni tena mdomo wangu... ukiniponza itakuwa ajali kazini tu! Baki na sindano yako
Acha kumpotosha mwenzio [emoji23] [emoji23]Mkuu, jaribu hii dawa ni nzuri sana kwa kuleta usingingizi:-
Chukua bombadia 7
Changanya na kasichana kamoja
Ongeza balimi 3 kwenye mchanganyiko
Then bila kusahau changanya na pilipili kiganja kimoja na ugoro vijiko 2 vya chai.
Nb:- Ukipona tafadhali lete mrejesho hapa, bila kusahau balimi 3 za mtabibu
[emoji99] [emoji99] [emoji99][emoji3] [emoji3] [emoji119] [emoji42]
Hahaha tulia bibie, ujue mtaani naitwa dokta kwa kutibu matatizo kama yake[emoji40]Acha kumpotosha mwenzio [emoji23] [emoji23]
Naona sasa macho yamekosa umakini, wacha nikuache utufungie geti[emoji42] [emoji42] [emoji125] [emoji125][emoji99] [emoji99] [emoji99]
Kama ww umepotea sanmwana mpotevu. !!