Ilibaki hivyo mpaka mwishoNdo maana nilivyosema bora wafungwe, ukasita kuniletea tena updates....
Hata mimi nashangaa, endelea na maombi utafikiri Manga ML alikwambia yeye ni padri.[emoji40] [emoji85] [emoji125]Nganengo nini? Wewe si unaumwa....umeonaje hii comment yangu?
Oooh! Pole mwayaIlibaki hivyo mpaka mwisho
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata mimi nashangaa, endelea na maombi utafikiri Manga ML alikwambia yeye ni padri.[emoji40] [emoji85] [emoji125]
AhasanteOooh! Pole mwaya
Hahahahaha kawaida ipo kama nature. Mazungumzo mengi kwa sisi (men) huwa ni mbaya mbaya mfano mzuri hata nikikutana na rafiki yangu sana kumuita majina ya ovyo ovyo tunaona ni kawaida kabisa kama mbwa, nyau, mwehu, fal*,n.k ipo kama nature. Sasa kwenye mpira mzuka huwa unazidi hapo ujikuta hata hayo maneno mabaya kuongezeka ila si kwa nia mbaya kabisa.Kwanini mkiwa mnaangalia mpira huwa mnaongea lugha ngumu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unanifanya niamshe majirani kwa kicheko.....Hata mimi nashangaa, endelea na maombi utafikiri Manga ML alikwambia yeye ni padri.[emoji40] [emoji85] [emoji125]
Hahahaha ngoja nijaribu kukuelewa the hunter[emoji40]Hahhaahha mawindo huwa ni kufurahisha majukwaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ushabiki wa mpira tu mkuu
Vampire who hunts vampires.Hahahaha ngoja nijaribu kukuelewa the hunter[emoji40]
Hiyo lugha yenu huwa inanizuia kwenda kuangalia mpira hata kama ni mechi ninayoitamani vipi....maana huwa naogopa kuziba masikio [emoji12] [emoji12]Hahahahaha kawaida ipo kama nature. Mazungumzo mengi kwa sisi (men) huwa ni mbaya mbaya mfano mzuri hata nikikutana na rafiki yangu sana kumuita majina ya ovyo ovyo tunaona ni kawaida kabisa kama mbwa, nyau, mwehu, fal*,n.k ipo kama nature. Sasa kwenye mpira mzuka huwa unazidi hapo ujikuta hata hayo maneno mabaya kuongezeka ila si kwa nia mbaya kabisa.
Kwa upande wenu lazima mpetia petiane baby, queen, honey hata kama ninyi kwa ninyi
nature hamna kingine
Mimi ni mshabiki kindakindaki wa majogoo wa jiji [HASHTAG]#Ynwa[/HASHTAG]Hivi wewe ni shabiki wa timu gani? Kwa hapa tz najua hivyo usijisumbue kunambia
Siku nitakuja kukuchukua twende wote japo mimi huwa situmii ile lugha[emoji23] [emoji23]Hiyo lugha yenu huwa inanizuia kwenda kuangalia mpira hata kama ni mechi ninayoitamani vipi....maana huwa naogopa kuziba masikio [emoji12] [emoji12]
Ngoja nione atakavyo kujibu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unanifanya niamshe majirani kwa kicheko.....
Ina maana hujui kama huyo ni baba naniluuu?
Hahaha kwani uongo mkuu, ataendaje kuazima dawa ya jiko kwa jirani wakati kuna gunia linaozea ndani[emoji125][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ohoooo! Ndo maana unachekelea mpaka jino la mwisho ....nilitamani sana mfungwe![emoji35] [emoji35]Mimi ni mshabiki kindakindaki wa majogoo wa jiji [HASHTAG]#Ynwa[/HASHTAG]
Woyooooo chama moja mkuu bongo nshachokaMimi ni mshabiki kindakindaki wa majogoo wa jiji [HASHTAG]#Ynwa[/HASHTAG]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Majibu yake hayanaga akili kabisa......ngoja tumsubirie!Ngoja nione atakavyo kujibu
Wacha weeh, kuazima shemeji huogopi, ila unaogopa maneno magumu[emoji40] [emoji125]Hiyo lugha yenu huwa inanizuia kwenda kuangalia mpira hata kama ni mechi ninayoitamani vipi....maana huwa naogopa kuziba masikio [emoji12] [emoji12]