JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Kwanini mkiwa mnaangalia mpira huwa mnaongea lugha ngumu?
Hahahahaha kawaida ipo kama nature. Mazungumzo mengi kwa sisi (men) huwa ni mbaya mbaya mfano mzuri hata nikikutana na rafiki yangu sana kumuita majina ya ovyo ovyo tunaona ni kawaida kabisa kama mbwa, nyau, mwehu, fal*,n.k ipo kama nature. Sasa kwenye mpira mzuka huwa unazidi hapo ujikuta hata hayo maneno mabaya kuongezeka ila si kwa nia mbaya kabisa.




Kwa upande wenu lazima mpetia petiane baby, queen, honey hata kama ninyi kwa ninyi




nature hamna kingine
 
Hahahahaha kawaida ipo kama nature. Mazungumzo mengi kwa sisi (men) huwa ni mbaya mbaya mfano mzuri hata nikikutana na rafiki yangu sana kumuita majina ya ovyo ovyo tunaona ni kawaida kabisa kama mbwa, nyau, mwehu, fal*,n.k ipo kama nature. Sasa kwenye mpira mzuka huwa unazidi hapo ujikuta hata hayo maneno mabaya kuongezeka ila si kwa nia mbaya kabisa.




Kwa upande wenu lazima mpetia petiane baby, queen, honey hata kama ninyi kwa ninyi




nature hamna kingine
Hiyo lugha yenu huwa inanizuia kwenda kuangalia mpira hata kama ni mechi ninayoitamani vipi....maana huwa naogopa kuziba masikio [emoji12] [emoji12]
 
Back
Top Bottom