Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,316
Hahaha mshiki kwakweli spidi yako Leo imekua Kali, unauliza complicated qns utafikiri sio msacha wako bhana[emoji40] [emoji125][emoji38] [emoji38] [emoji38] unajua kuni[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Hahaha basi Mama chanja si yashaisha, au bado baridi inasumbua?[emoji85] [emoji40] [emoji125]We baba kayaii wewe
Wapi tena mkuu, karibu kilingeni uonje angalau ghahawa kidogo[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Uko vzr, umenifunga[emoji40]Nilijua tu, ungeanzisha kamada kama nisingeweka angalizo[emoji6]
Haya acha niwe mpole[emoji12] nikiwa na kaswali namwomba Ney akuulize[emoji85]Hahaha mshiki kwakweli spidi yako Leo imekua Kali, unauliza complicated qns utafikiri sio msacha wako bhana[emoji40] [emoji125]
Sasa mama chanja umesahau tena ule msemo wa "fimbo ya mbali hiui nyoka" au "kizuri kula na nduguyo" au tuseme umesahau na ule wa "kumpenda jirani yako kama nduguyo"? (Mungu saidia Spade asione hapa)[emoji40] [emoji125]Atii nawe humuogopi baba chanja au spade wangu?
Atii nawe humuogopi baba chanja au spade wangu?
Hunter ndio yule mpenzi wako ambaye ndio jirani yangu mkuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ndo nani tena maana nasikia bby una majirani wengi? Hebu nitonye usikute ni yule wangu[emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha ila Mshiki, unajua Mimi sihusiki na utekaji wa huyu mtu, kuna siku nilikusikia unasema mvua ikinyesha huwa anapotea, huenda ana allergy nayo[emoji40] [emoji125]
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Haya acha niwe mpole[emoji12] nikiwa na kaswali namwomba Ney akuulize[emoji85]
Asante napita tuWapi tena mkuu, karibu kilingeni uonje angalau ghahawa kidogo
Salamu zimefika, karibu komredinawasalimu usiku mnene
[emoji40] [emoji40] [emoji125] [emoji125]Hunter ndio yule mpenzi wako ambaye ndio jirani yangu mkuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sawa kabisaHaya acha niwe mpole[emoji12] nikiwa na kaswali namwomba Ney akuulize[emoji85]
Usipite kimya tafadhali, hebu sema hata neno[emoji39]Asante napita tu
Hahaha nakuona ulivyokenua, hivi jirani yako yupo kweli, au siku hizi hapigi tena chabo[emoji40] [emoji85] [emoji125]Sawa kabisa
Duuuh hakika huyu my kaka sio mtu mzuriHunter ndio yule mpenzi wako ambaye ndio jirani yangu mkuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sikuhizi tumeweka uzio mkubwa sana hawezi tena kupiga chabo jirani yangu.Hahaha nakuona ulivyokenua, hivi jirani yako yupo kweli, au siku hizi hapigi tena chabo[emoji40] [emoji85] [emoji125]