Wewe mbona hujajifunza? Au ndo ule msemo wa fuateni maneno yangu na si matendo yangu![emoji12] [emoji12] [emoji12]wadau mjifunze kulala, hata kama hamuna wa kulala naye mjikaze tu mfe kikondoo
[emoji3] [emoji3] kama kawaida yenu mwez wa 12 ndo huoooHii ni mida mibaya ya mwaka, watu tunaanza ku save 20% za mbege kwa ajili ya xmass, so tunafanya kazi kupitiliza[emoji38] na siwez hudhuria muda mrefu hivi vimvua navyo vina kazi yake[emoji85]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbe ana mume?Jje's mumeo stunter kapotelea wap?
[emoji39] [emoji39]Hii ni mida mibaya ya mwaka, watu tunaanza ku save 20% za mbege kwa ajili ya xmass, so tunafanya kazi kupitiliza[emoji38] na siwez hudhuria muda mrefu hivi vimvua navyo vina kazi yake[emoji85]
Ndio dear ulikua hujui? Vp ulipotelea wap kuandaa mashamba au[emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbe ana mume?
KK analijua hili?
Yaan kabanwa na kazi ila naona anavyozidi kukua ndivyo akili yake inampeleka pazuri. Anawaza mambo ya familia zaid. Nimefurah sana kwa hiloJje's mumeo stunter kapotelea wap?
Ndo maana nduguyo Nleterewa Nganengo haonekani hapa,yuko busy kukusanya pesa za kumpeleka kwenye sensa ya Krismas Moshi eeeh!Hii ni mida mibaya ya mwaka, watu tunaanza ku save 20% za mbege kwa ajili ya xmass, so tunafanya kazi kupitiliza[emoji38] na siwez hudhuria muda mrefu hivi vimvua navyo vina kazi yake[emoji85]
kuna ishu nafukuzia keshoKesho kuna nn?
Hongeren san ndo kukua huko mana ilikuaga haipiti masaa kashaanzisha uziYaan kabanwa na kazi ila naona anavyozidi kukua ndivyo akili yake inampeleka pazuri. Anawaza mambo ya familia zaid. Nimefurah sana kwa hilo
Hata mm mahudhurio yangu sio kama zaman kwa ajili yake.
Yaan tumeshaanza kuwahi namba kabisa, tunaomba Mungu tukiwa na iman tutafika na 20 percent vyetu[emoji3] [emoji3] kama kawaida yenu mwez wa 12 ndo huooo
Nilikuwa sijui mpendwa,yaani nilimwachia KK nikijua hana mwingine kumbe ni mke wa mtu?Ndio dear ulikua hujui? Vp ulipotelea wap kuandaa mashamba au
Acha na wewe uchonganishi[emoji85] [emoji12][emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbe ana mume?
KK analijua hili?
Wacha weee[emoji39] [emoji39]
Hakuna kitu kama mbege*2
Hata Manka simtaki[emoji441] [emoji445] [emoji442]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] my kaka mimi misi you mingi[emoji39] [emoji39]
Hakuna kitu kama mbege*2
Hata Manka simtaki[emoji441] [emoji445] [emoji442]
Ya hela eee!kuna ishu nafukuzia kesho
siwezi kukwambiaYa hela eee!
Huyu ama yule....mbona wanichanganya? Ndo maana Kichwa Kichafu kapotea hapa jukwaani,nadhani kesha jua kua anaibiwa [emoji12] [emoji12] [emoji12]Yaan kabanwa na kazi ila naona anavyozidi kukua ndivyo akili yake inampeleka pazuri. Anawaza mambo ya familia zaid. Nimefurah sana kwa hilo
Hata mm mahudhurio yangu sio kama zaman kwa ajili yake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji40] [emoji40] [emoji40]Acha na wewe uchonganishi[emoji85] [emoji12]
Na wewe kwa kuchochea moto hujambo[emoji57][emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbe ana mume?
KK analijua hili?
[emoji40] [emoji40] [emoji125] [emoji125]Yaan kabanwa na kazi ila naona anavyozidi kukua ndivyo akili yake inampeleka pazuri. Anawaza mambo ya familia zaid. Nimefurah sana kwa hilo
Hata mm mahudhurio yangu sio kama zaman kwa ajili yake.