Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,316
Hahaha ujue nimeacha balimi ni saa 12 sasa zishapita, ndo najipongeza hapa na balimi 2 kwa kufanikiwa kuacha pombe[emoji41]Nahisi balimi zishakupofusha macho tayari kilichobaki ni kukusahaulisha lugha yako na kukukumbusha lugha ya malkia.....ukifikia hatua hiyo unambie ili nikuage usije niaibisha bure
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Walah aliyekuroga alishakufa.....fanya mpango uje nikurogoe kwa kutumia mkojo wa sisimizi na machozi ya samakiHahaha ujue nimeacha balimi ni saa 12 sasa zishapita, ndo najipongeza hapa na balimi 2 kwa kufanikiwa kuacha pombe[emoji41]
Hahaha, zile huwa haziuzwi ujue, tatizo wanga wa siku izi wamezidisha ubarobaro na usistaduu tofauti na enzi zetu, wengi wao saivi wako club[emoji40]Sio waoga,nasikia kwao pia vyuma vimekaza,hawana pesa za kununulia nyungo za kusafiria
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Usisahau tu kurudi maana huko,umetumiwa emoji kibao na memba ke, Neybright akiwa miongoni mwao...[emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa ninavyokujua lazima ulimtongoza mpaka akaacha ungo wake unaelea anganiHahaha, zile huwa haziuzwi ujue, tatizo wanga wa siku izi wamezidisha ubarobaro na usistaduu tofauti na enzi zetu, wengi wao saivi wako club[emoji40]
Mfano juzi saa 2 usiku nimekutana na mwanga sistaduu kapaka mekapu[emoji41] [emoji125]
Mwamshe mkawahi ibada ya kwanza [emoji4] [emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] Walah aliyekuroga alishakufa.....fanya mpango uje nikurogoe kwa kutumia mkojo wa sisimizi na machozi ya samaki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Acha imwagike tu,wewe wahi huko ukajionee ulivyotandaziwa ma emoji ya kufa mtu na memba ke[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mpaka jirani, nimepata mshtuko mpaka balimi imemwagika[emoji6]
Msalimie mahondow komred, siku moja moja mkija nae kututembelea huku itapendeza sana
Mimi aliyeniroga yu hai, namvutia kasi tu na panga nishalinoa vizuri,nikimfikia tu atanirogoa kabla taha sijamkaribia[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa uaguzi huo, ni heri niendelee na dozi ya balimi, wewe aliyekuloga ndo atakua sio kafa tu, mpaka nywele zake zishadecompose[emoji119] [emoji119]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119][emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa ninavyokujua lazima ulimtongoza mpaka akaacha ungo wake unaelea angani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Bila shaka umemchosha sana...[emoji126] [emoji126]
Hahaha nifundishe basi[emoji6]Mwamshe mkawahi ibada ya kwanza [emoji4] [emoji4]
Nleterewa Nganengo,naomba na mimi uwe una ni- Cc [emoji12] [emoji12]
Usiponiweza wewe ataniweza nani?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119]
Sikuwezi kwakweli
Hahaha kwa hilo imani yangu imekua kama ya Thomaso, hebu nithibitishie hapa kwa kuweka emoj uliyoniwekea kule[emoji39][emoji23] [emoji23] [emoji23] Acha imwagike tu,wewe wahi huko ukajionee ulivyotandaziwa ma emoji ya kufa mtu na memba ke
Smart911 usije ukafanya kosa la kumleta m-Cc wako huku,kuna mahunter hapa watakuliza ohooo!Msalimie mahondow komred, siku moja moja mkija nae kututembelea huku itapendeza sana
Aisee, akikataa kuamka we mmwagie ataamka tu komredi