Jamani Maserati, asali ya Gentries unaitwa huku[emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350]
Ngoja mwalimu wake zone comment yako, ukiingia ugenini uliza wanalalajeNjia kuu hayupo umebaki ww mchepuko wanguu
Mm uck huu wamenianza vinaya, acha nilale mid nisije umiza kamoyo kangu
Uck mwemeni wote
Jamani nani tena anataka kuharibu siku yako? Usiruhusu hiyo hali my dearMm uck huu wamenianza vinaya, acha nilale mid nisije umiza kamoyo kangu
Uck mwemeni wote
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli alitakiwa aulize tunalalaje humuN
Ngoja mwalimu wake zone comment yako, ukiingia ugenini uliza wanalalaje
Kusoma hujui....hata picha huoni best? Wewe hujajiuliza kwanini walipotea wote,wakaibuka wote halafu ghafla bin vuu wakaaga wote.....Kwan Thad umesema Ney na KK walikuwa wapi eti?
[emoji713] [emoji742] [emoji765] [emoji639] [emoji768] [emoji742] [emoji701] [emoji671]Geti limefunguliwa popoZz
India Novemba Novemba Alpha!Nawafungia geti sasa
Haha mkuu nipo hapa kwaajili ya mambo mengime tu wala sio kwaajili ya Tanzanite. Upo hapa simu moja tuonane mkuu.?Asante!
Vipi umefata tanzanite?
0003 karibuni,leo nimefungua mwenyeweeh! mwenye dukuduku lolote ntamwambia leo...
[emoji122] [emoji122] [emoji122]0003 karibuni,leo nimefungua mwenyeweeh! mwenye dukuduku lolote ntamwambia leo...
Kwan nani alikuteka we rafk angu kipenzi???We kuku habari rafiki kipenzi
Asante sana hatimaye na ww leo muhusika mwenyew wa uzi umekuepoo ni furahaapopo no.3 leo,hongera sana!