Unalala na lijamaa wewe jinsia gani mkuu?Kuna lijamaa hapa limelala linakoroma kweli mpaka limepelekea/sababisha nishindwe kulala/kupata usingizi.
Linakoroma kweli
ahahahahhaha wateja wako uck huu ndo kina nani?Wapendwa nimepitia kuwajulia hali tu, ngoja niwatumikie wateja wangu.
Nishafika, mbona sikuoni....Isee....kwa mzunguko huo sidhani kama utanikuta,maana kuna jamaa amekaa hapo mbele anagawa ofa,hivyo nataka nikachangamkie fursa [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Akhsante...Wapendwa nimepitia kuwajulia hali tu, ngoja niwatumikie wateja wangu.
Hivyo bhana hiz simu ni chonganish kweli
Nilitoka hapo kuja kufukuzia ofa hapa mbele, ngoja tu nirudi maana ofa yenyewe nimeichelewa [emoji134] [emoji134]Nishafika, mbona sikuoni....
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Hivyo bhana hiz simu ni chonganish kweli
Tehteh.....Unalala na lijamaa wewe jinsia gani mkuu?
Umenipa mashaka ya gafla
Kwa nini akorome kama sio amemaliza kufanya kazi fulani hivi ile ya usiku
Teh
Pole sanaNilitoka hapo kuja kufukuzia ofa hapa mbele, ngoja tu nirudi maana ofa yenyewe nimeichelewa [emoji134] [emoji134]
Ulinishtua mkuu loooh hizo shift za kupokezana vitanda vepeeTehteh.....
jj's bhana
Tupo shift ya usiku kazini mkuu
Jamaa kalala ila kitanda tofauti
Yaani hapa nilipo nimekereka kweli bhasi tu hamna namna
Teh...Hivyo bhana hiz simu ni chonganish kweli
Hizi lugha jamani wengine bado wadogo.....Unalala na lijamaa wewe jinsia gani mkuu?
Umenipa mashaka ya gafla
Kwa nini akorome kama sio amemaliza kufanya kazi fulani hivi ile ya usiku
Teh
Ohooo![emoji134] [emoji134] [emoji134] usinambie nawe nimeshakukosa,maana nimerudi hapa ila sikuoniPole sana
Mtaka yote kwa pupa ameyapenda yote!
Tehteh....Ulinishtua mkuu loooh hizo shift za kupokezana vitanda vepee
do maana mnaambiwa mlaleHizi lugha jamani wengine bado wadogo.....
Utanikosaje sasa, mimi nipo hapa kibarazani..Ohooo![emoji134] [emoji134] [emoji134] usinambie nawe nimeshakukosa,maana nimerudi hapa ila sikuoni
Yaan utalipia mbavu zangu. Sio kwa kunifanya nicheke hivi looohTehteh....
Hatupokezani vitanda bhana
Kuna vitanda viwili kila mmoja kalala chake
Nilimaliza bhana hii simu ikaamua ku editTeh...
Umepost kabla hujamaliza kuandika siyo
Wewe kwani umelala na nani?Yaan utalipia mbavu zangu. Sio kwa kunifanya nicheke hivi loooh
Siri ya kitanda mkuu,Wewe kwani umelala na nani?