JamiiForums Usiku wa manane

Mkuu tutalonga ikifika mida ya wanga
 
Wale wakimzi wote wa forum tunaokutana usiku mnene kaa huu naomba tujuane hapa na tukutane kwenye hichi kijiwe chetu cha usiku mnene.
Nawangoja popoz aka wanga wa forum aka wachawi wa technology.
Ivi nyie jamaa mnalalaga mchana au ni Insomnia inatutafuna??!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…