Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Wale wa ibada Twenzetu ibadani❤️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dizasta vinaDsvn ndo nini huko mjini 🤒🤔
We kijana unafungaga ramadhani kweli 😂😂😂🙌🙌🙌6:13 AM
Nafunga lindo amkeni
Mi siku hizi nasikiliza nyimbo za wakorea tu🤒Dizasta vina
Nime staafu cheo cha Mlinzi mkuu, Kama vipi chukua form ugomvee, huenda Nika kupa nafasi🤓
Nitajie wasanii watatu wa kikorea mkuuMi siku hizi nasikiliza nyimbo za wakorea tu🤒
Chanyeol, punch, taeli,Nitajie wasanii watatu wa kikorea mkuu
Ahaahhahhahah mmmmhChanyeol, punch, taeli,
Kuna 50 k, uki thibitisha Kama hao sio wasanii wa koreaAhaahhahhahah mmmmh
Ngoja nicheki wana wa town hapa mkuu...Kuna 50 k, uki thibitisha Kama hao sio wasanii wa korea
Huwezi waelewa mzee, nyie mna taka mambo ya nipite kwa ulimi tu.Ngoja nicheki wana wa town hapa mkuu...
Mi wakorea nawakubali katika movies zao tuu ila kwenye kuimba hamna kazi
Kimambo beatsHuwezi waelewa mzee, nyie mna taka mambo ya nipite kwa ulimi tu.
Wakorea Wana kazi za maana Sana, huwezi ukasema una taka kuwa producer halafu huelewi mziki
Nimeapisha vijana wapya naamini watafanya kazi vizuriNime staafu cheo cha Mlinzi mkuu, Kama vipi chukua form ugomvee, huenda Nika kupa nafasi🤓
Bado wamoto nawaona full 🤣 🤣 na mayokoNimeapisha vijana wapya naamini watafanya kazi vizuri