JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Nitawasalimu cute,naona huyu mdogo kaanza uvivu Shule kila ifikapo asubuhi anachechemea eti mguu unamuuma...ndiyo kwanza yupo nursery....ukimwacha tu bas full kucheza

hawa wanamambo kwelii, kuna mwingine hap mtot wa sstr kila nikimpeleka shule anaanz kuuliza " nikitoka shule nitakuta tumepika nini" yaan nacheka mpka basi az ifu huwa yupo wakati wa mapishi
 
hakuna namna hapoo, kama maokoto yangekuepo ya kutosha ni unajifungulia ka biashara kako alf unatulia unakua unajiamulia mda wa kufunga na kufungua yan no stress, ila saiv ni kusota tu[emoji17] kweny hizi ajira
Very sasa....kuna kipindi nilitaka niache nikapige mishe SA....nilipomshirikisha mama akasema “mwanangu utachina aisee”
 
Very sasa....kuna kipindi nilitaka niache nikapige mishe SA....nilipomshirikisha mama akasema “mwanangu utachina aisee”

hap mpak uwe na pesa ya kueleweka ndo ujitoe kweny ajira la sivyo ni kuchina kama samaki,, ila ukipata ka namna unaweza ukaanzish ka biashar kadog ambako hakawez kukuvurugia ratiba za kazini, mfano kuuz nguo za ndani, sendo n.k kwa hao watumish plus majirani,,
 
Back
Top Bottom