Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Safi sana kama uko poa inapendeza🥴Niko poa Kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana kama uko poa inapendeza🥴Niko poa Kabisa
PoapoaSafi sana kama uko poa inapendeza
Kazi njema..ukajenge taifaPoapoa
Najenga sasa?!🙄 niponipo tu nasubiri wakosee niwachape😏Kazi njema..ukajenge taifa
Hahahahahaha...ndio kujenga hukoNajenga sasa?!🙄 niponipo tu nasubiri wakosee niwachape😏
Yeah nadhani ✋🏽Hahahahahaha...ndio kujenga huko
Unadhani wakati uko kazini ? Unatakiwa u enjoy kaziYeah nadhani ✋🏽
Sawa..basi ngoja nienjoy mkuu.Asubuhi njemaUnadhani wakati uko kazini ? Unatakiwa u enjoy kazi
PoaSawa..basi ngoja nienjoy mkuu.Asubuhi njema
Habari za asubuhi my wangu 😘😋😋
Vincenzo,kuna mdogo wangu anataka kazi.....au kibarua chochote....can u connect him?Habari za asubuhi my wangu 😘😋😋
Hahahahaha...DuhNaitwa To yeye talaka nilikupa usiku wa manane🙄
Imekaa vzr sana hii..kupeana connectionVincenzo,kuna mdogo wangu anataka kazi.....au kibarua chochote....can u connect him?
Kama yupo mererani Kuna kazi machimboni kama yupo mbagala Kuna kazi kiwandani kwa Azam chajuice kama kapitia JKT Kuna kazi za ulinzi Suma JKT kwa mwezi ni laki 3 hapa maeneo ya makumbusho kunatakiwa vijana wawili walinziVincenzo,kuna mdogo wangu anataka kazi.....au kibarua chochote....can u connect him?
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Naitwa To yeye talaka nilikupa usiku wa manane🙄
😭😭😭🤒😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Sawa nadhani mererani hiyoKama yupo mererani Kuna kazi machimboni kama yupo mbagala Kuna kazi kiwandani kwa Azam chajuice kama kapitia JKT Kuna kazi za ulinzi Suma JKT kwa mwezi ni laki 3 hapa maeneo ya makumbusho kunatakiwa vijana wawili walinzi
Sana Tresor Mandala ...,maisha ndiyo hayahaya...waweza mwona mtu ombaomba kumbe anashida kweli....But life goes on😉Imekaa vzr sana hii..kupeana connection
Ni kweli..mpk mtu anaomba ujue ana shida kweli..na shida haina mmoja yoyote humkumbaSana Tresor Mandala ...,maisha ndiyo hayahaya...waweza mwona mtu ombaomba kumbe anashida kweli....But life goes on😉