Doctizo Mtengwa
JF-Expert Member
- Feb 16, 2019
- 828
- 1,513
Mkuu naona upo Lindo ukijituliza na mashairi ya Ngosha...12:48 AM Mafanikio hayaji ukikata tamaa
Yenyewe huwafuata wanaojituma
Na wale wasiosukumwa na njaa
Sipigi kila dili mipaka imezingatiwa
Sitaki kuwa tajiri ninataka kufanikiwa
Kabisa Mkuu jamaa anajua sana huyuMkuu naona upo Lindo ukijituliza na mashairi ya Ngosha...
Sahihii kabisa mkuuKabisa Mkuu jamaa anajua sana huyu
Naunga mkono hoja kaka jamaa ni fundii sana huyu namuwekaga no 1 mbili nmpa AY tatu Nampa mwanafa nne Darasa Tano dizasta vinaSahihii kabisa mkuu
Nimiongoni mwa wasanii wenye ladha katika mashairi,
Ukiskia mashairi yake tu yanakupa tafakari flani ivi...
Mf. Juhudi za wasiojiweza aliifanya na bikidude enzi za uhai wake
Hapo umemaliza MkuuNaunga mkono hoja kaka jamaa ni fundii sana huyu namuwekaga no 1 mbili nmpa AY tatu Nampa mwanafa nne Darasa Tano dizasta vina
Kabisa kaka tamaduni music kumejaa mafundi sana ongezea na p mawenge hapo kakaHapo umemaliza Mkuu
Bila kumsahau songa na Nash mc...
Mkuu naona kam umegeukia Zaire1:30 AM Associé na ngai, tala ndenge monoko eboyi lokuta e refoulé epayi ya miso, Miso pe lokola ye alobaka te, atangisi be mayi.
Moyibi mobimba akoteli ngai na midi, ayibi kaka mbeto nasala nini?
Kabisa kaka namsikiliza fally ipupa hapa mzee wa AsoccieMkuu naona kam umegeukia Zaire