JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Hakika Mkuu, hawa watakuja kula mvua ya miaka 30 we waache tu 😜

Wanajifanya wajanja kurusha mawe juu ya Bati ili kuwaita....

Kitu wasichojua hata miaka ile namvizia Bibi yao ili nimwoe nilitumia mbinu hii pia 🙌🏃🏃🏃
Hapo ndio utaamini kuwa hakuna jipya chini ya jua yote yalishafanyika.

Ila mzee mbona kama unatupanga, miaka hiyo si ni nyumba za nyasi ukirusha jiwe hata halisikiki 😂
 
Back
Top Bottom