Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
π ulikua umelewa nn?Kuhusu kutembea na vibegi, baba Ali nambia niwa achie wauza ukwaju.
Tulikuwa na nyumba ya Bati miaka ile.Hapo ndio utaamini kuwa hakuna jipya chini ya jua yote yalishafanyika.
Ila mzee mbona kama unatupanga, miaka hiyo si ni nyumba za nyasi ukirusha jiwe hata halisikiki π
Shilingi 15 na hamkumiliki magorofa?Tulikuwa na nyumba ya Bati miaka ile.
Enzi hizo Bati Moja la gauge 28 linauzwa shilingi 15 π€
Kweli tumezeeka sasa π
Will appreciate π€Limeisha hili babu Iβll share details [emoji6]
Bahati mbaya Wazee tuliendekeza Kuoa sana, otherwise ningekuwa na ghorofa Mtaa wa Msimbazi πShilingi 15 na hamkumiliki magorofa?
Si uliona kuoa ni muhimu kuliko kuijenga msimbazi πBahati mbaya Wazee tuliendekeza Kuoa sana, otherwise ningekuwa na ghorofa Mtaa wa Msimbazi π
Naunga mkono hoja anajisifia kukaa bila kazi na anaona Raha kabisaNenda kasali .pambana yapo tu
Halafu kataa hy promo unayojipa ushauri wangu tu ...ubajineneq u jobles as a sifa kumbe sio
Babu hili ghorofa maeneo ya kigamboni ni lako hapa maeneo ya ChekaBahati mbaya Wazee tuliendekeza Kuoa sana, otherwise ningekuwa na ghorofa Mtaa wa Msimbazi π
Hahaha..........sio langu Mkuu, japo nina kibanda hapo hapo uliposema π€Babu hili ghorofa maeneo ya kigamboni ni lako hapa maeneo ya Cheka
Tena enzi zile viwanja Kariakoo ilikuwa shilingi 2,500 unapata ekari 5Si uliona kuoa ni muhimu kuliko kuijenga msimbazi π
Ndio Kile chenye mabati ya msauzi BabuHahaha..........sio langu Mkuu, japo nina kibanda hapo hapo uliposema π€
Changu bado kipo kwenye msingi Mjukuu πNdio Kile chenye mabati ya msauzi Babu
Asante sana kwa ushauri babuChangu bado kipo kwenye msingi Mjukuu π
Isingekuwa Kuoa uo Kila Mwaka saivi ningekuwa nimekamilisha Ujenzi wake π€
Nanyi Vijana msiwe kama Babu yenu, mkiendekeza kuoa hata bei ya Saruji hamtaijua
π dah nataka niseme kitu ila nawaza miaka 30 baadae ntakuwa najilaumu kushindwa kununua kiwanja cha milion 50, miaka hiyo kitakua 500m+Tena enzi zile viwanja Kariakoo ilikuwa shilingi 2,500 unapata ekari 5
Leo hii ningeitwa Babu bilionea Mimi π€π
Ngoja nimwambie waiter aniletee John Walker yangu nipoze machungu π»π
Ardhi pekee ndiyo huwa haishuki thamaniπ dah nataka niseme kitu ila nawaza miaka 30 baadae ntakuwa najilaumu kushindwa kununua kiwanja cha milion 50, miaka hiyo kitakua 500m+
Nitasubiri kusikia viwanja vipya kutoka kwenuTunapiga sana story wakati leo ni Weekend , toeni ratiba tunakula wapi kitimoto na bia
Hahahahaha..huko samaki samaki mimi hapanifai nishazoea ..buza..ununio..tegeta..sinza ..KinondoniNitasubiri kusikia viwanja vipya kutoka kwenu
Sisi Wazee tutakuwa Samaki Samaki ili tuyape afya macho pamoja na shingo kwaajili ya kuangalia Maua π
Mitaa yetu Wazee hiyo tukishapata pension π€Hahahahaha..huko samaki samaki mimi hapanifai nishazoea ..buza..ununio..tegeta..sinza ..Kinondoni
Hahahahaha..hayo maeneo muzee hakai ..ila nakuelewa...nilisoma Russia na Algeria..na sio CubaMitaa yetu Wazee hiyo tukishapata pension π€