JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

babu mi sidhan kama nitawez kuvumilia mpka kesho,, bora nije saiv ili kesho inikute huko
Ngoja nikuandalie jamvi kabisa ukifika usipate shida Mjukuu 🤗

Nimemweleza Bibi yako kuhusu hilo, amesema atakuandalia dozi aliyowahi kunipa Mimi Mwaka 47 hadi nikatangaza Ndoa na kumwoa ndani ya Siku 5 😜🙌
 
Ngoja nikuandalie jamvi kabisa ukifika usipate shida Mjukuu [emoji847]

Nimemweleza Bibi yako kuhusu hilo, amesema atakuandalia dozi aliyowahi kunipa Mimi Mwaka 47 hadi nikatangaza Ndoa na kumwoa ndani ya Siku 5 [emoji12][emoji119]

haha sawa babu, mwambie bibi asisahau na maziwa ili nikifika nipooze koo maan nimelia mnoo nusu macho yadondoke[emoji17]
 
Back
Top Bottom