JamiiForums Usiku wa manane

Jamaa ajipange hii case ni ngumu sana
 
Jamaa ajipange hii case ni ngumu sana
Kina 50 cent walisha sema toka zamani, kuwa p Diddy sio mtu mzuri.

Angalia alivyo kuwa ana mtreat cassie, Kama Malaya aisee.

Kesi ya Tupac nayo Ika fukuta upya, Ika semekana yeye ndo ali mlipa muuaji.

sema asinge kuwa na hela, ange ozea jela, maana private jet ndo ime msaidia kukimbia.

Picha za CCTV zili onesha mwamba ana wasiwasi kinyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…