JamiiForums Usiku wa manane

Mida hii nilikuwa saloon ya kitaaa, akaja jamaa mmoja, akamuuliza kinyozi anataka huduma ya kupaka "superglue" gharama kiasi gani, ikabidi tumuulize tena huduma gani, akasisitiza kupaka superglue, kumbe anamaanisha "superblack", anyway tupo nae hapa anatusimulia mambo ya Mwanza 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…