JamiiForums Usiku wa manane

Ndiyo maana Kuna wakati sitamani utajiri

Utajiri unanafasi kubwa kukufanya uwe Muuaji, ufanye biashara haramu na wakati mwingine kukufanya uwe mbali zaidi na Mungu

Watu wengi waliofanikiwa kibiashara Wana dark side zao nyingi ambazo ukiwa mtu wa imani utatamani uendelee kuishi Kwa kipato cha kawaida tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…