Kuna aliyeomba mchango kumbe wa kodi?Hahaa, hv umesoma yule dada alieomba mchango wa kodi?
Pambana tu humu utaishia kudhalilishwa😂😂😂
🤣🤣🤣Kuna aliyeomba mchango kumbe wa kodi?
Single mom naskia hamna baya mnatetewa sana MMUMi naangalia shida kutatuliwa cute kudhalilishwa nilishaanza kudhalilishwa since wajue am singlemom.🤣🤣🤣
Mapema subiri ifike angalau saa tanoMsinifanyie ivo jamani...Haya mlale salama
Hahahaa hatari😂Mi naangalia shida kutatuliwa cute kudhalilishwa nilishaanza kudhalilishwa since wajue am singlemom.🤣🤣🤣
Me don’t care...aliyeperfect than me aniignoreSingle mom naskia hamna baya mnatetewa sana MMU
Mungu anajilia.. Wewe je? Uko poa
Bado 10 minutesMapema subiri ifike angalau saa tano
NdioKuna aliyeomba mchango kumbe wa kodi?
Usijali mkuu me mwenyew single husband 😎Me don’t care...aliyeperfect than me aniignore
Nipo good mpendwaMungu anajilia.. Wewe je? Uko poa
Jf watakatifu ni wengi mno ila wanapenda kuangaika na dhambi zetuHahahaa hatari😂
Dah! Inasikitisha sanaNdio
Hongera sana mkuuUsijali mkuu me mwenyew single husband 😎
Huo ndo ipo poa sasa ni kulea tu watotoUsijali mkuu me mwenyew single husband 😎
Kabisa mkuuHuo ndo ipo poa sasa ni kulea tu watoto