Pole sana mkuu10:54 PM
Mnazingua jana saa 8 wote mshalala
Tulikua lindo majukwaa mengine10:54 PM
Mnazingua jana saa 8 wote mshalala
Amina mkuuAmina....Mwenyezi Mungu awatunze mkuu
๐๐10:54 PM
Mnazingua jana saa 8 wote mshalala
Mnafungua lindo saa 12 siku hiziTulikua lindo majukwaa mengine
Jambo jemaNipo good mpendwa
naam Future billionaire Nime fika๐ค, a boy from nanjilinjii ndani ndani๐Mkuu ndo kumekucha sasa sio ๐๐๐๐
Hahaha...... kwahiyo unataka kusema tutavuka mto tukiufikia sio ๐Ni kweli mkubwa, maana ukisha fika pale juu, utaanza kuwaza jinsi ya kuendelea kuji kuza.
Bado washindani wa kibiashara, hapa Kuna wema na Wabaya, hapa ndo janga linapo anzia.
Maana unaeza geuka ibilisi mdogo ๐ค๐.
bado Kuna wale wazee wa kunusa mapato yako, lazima uwapoze ili ufukie baadhi ya mambo.
All In all, mi nitaona huko huko๐ค
Tukifika, ulinzi wa anga na ardhi lazima izingatiwe๐๐คHahaha...... kwahiyo unataka kusema tutavuka mto tukiufikia sio ๐
Kwasasa tuendelee kizichanga kidogo kidogo ๐ค
Hongera sana kufikia stage ya kutaka kucheza mpira wa kulipwa...Hahahahaha niliumia mazoezi,enzi zangu ilikua ni nivae jezi moja ya timu za Kariakoo ๐
Sasa hv mazoezi ya kulinda mechi muhimu kama usemazo
Hawaniwezi By Harmonizenaam Future billionaire Nime fika๐ค, a boy from nanjilinjii ndani ndani๐
Hahaha......Tukifika, ulinzi wa anga na ardhi lazima izingatiwe๐๐ค
want it all by burna boy, good life by Kehlani ft g eazyHawaniwezi By Harmonize
๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Hahaha, ukawa una jikuta don wa taifa, Huku tafuta bodyguard kweli๐๐คฃ.Hahaha......
Unanikumbusha miaka fulani nashika shilingi milioni 1 yangu nikiwa na 19 yrs.
Kwa kweli nilipata shida sana kupata usingizi
Tulikuwa tumefuga mbwa nyumbani, Kila mbwa akibweka usiku nilikuwa nahisi majambazi yanataka kunivamia wanipole hela yangu ๐
Kwasasa kazi ya kutulindia Hela zetu tumewaachia watu wa Benki ๐ค