Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Heeeš„Tena wewe ndio kiongozi wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heeeš„Tena wewe ndio kiongozi wao
Ndio mimi mwenyeji sana ila ile ID ya zamani hatakubali hata mmojawapo kwa nnavyowacrash na sasa natimiza miaka 40 sina mke na watoto wawili twins wana miaka 12Unadondokewa na watu watatu š³
To yeyeNdio mimi mwenyeji sana ila ile ID ya zamani hatakubali hata mmojawapo kwa nnavyowacrash na sasa natimiza miaka 40 sina mke na watoto wawili twins wana miaka 12
Mama yao aliolewa miaka saba ilopita watoto nnao mimi sasa nahitaji kamke kangu
Nataka nioe mmoja wapo na uhakika hamjaolewa nyie,Mwanamke aliolewa usiku hawi free kama nyie
Ndiyo uchangamkie sasa cute....mwenzio sijawahi kuwa singleš
HahahahahaNdiyo uchangamkie sasa cute....mwenzio sijawahi kuwa singleš
š¤£š¤£š¤£ š„“Hahahahaha
Home na usiku wa mananeMkesha wa pasaka , tunasali wapi ?
Kwa Haya majina mapya wakati ni old school ? Apa ni 0Ndiyo uchangamkie sasa cute....mwenzio sijawahi kuwa singleš
Vzr sanaHome na usiku wa maneno
HahahahahaKwa Haya majina mapya wakati ni old school ? Apa ni 0
š¤£š¤£š¤£afu ana maneno mengii....sasa kama nawe una maneno mengi hapo lazima mtoane machoKwa Haya majina mapya wakati ni old school ? Apa ni 0
Mi ninae mkuu sema kuna muda mnajikuta wote mpo lindoniāŗļøSio kukuda mzuri, ikiwemo To yeye wewe, Winnone na Hope urassa ebu mnijibu maana nahisi nina uhakika hamna waume na nmewadondokea
Ndio nmewaambia sasa , nakuja PM kwa maelezo zaidiš¤£š¤£š¤£afu ana maneno mengii....sasa kama nawe una maneno mengi hapo lazima mtoane macho
Acha uongo ntakununulia PC tumeni namba zenu hapa kwa intro nawatumia hela ya siku kuu laki kila mmoja wenuMi ninae mkuu sema kuna muda mnajikuta wote mpo lindoniāŗļø
š¤£š¤£š¤£afu ana maneno mengii....sasa kama nawe una maneno mengi hapo lazima mtoane macho
Mh ebu niacheMnajishaua nini wewe to yeye haujibu PM ntakusaidia kulea watoto wako ,na we hope Urassa eti hutaki usimbufu na unanambia nije live na I'd ya zamani unataka ugundue nini