Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Heee💥Tena wewe ndio kiongozi wao
Ndio mimi mwenyeji sana ila ile ID ya zamani hatakubali hata mmojawapo kwa nnavyowacrash na sasa natimiza miaka 40 sina mke na watoto wawili twins wana miaka 12Unadondokewa na watu watatu 😳
To yeyeNdio mimi mwenyeji sana ila ile ID ya zamani hatakubali hata mmojawapo kwa nnavyowacrash na sasa natimiza miaka 40 sina mke na watoto wawili twins wana miaka 12
Mama yao aliolewa miaka saba ilopita watoto nnao mimi sasa nahitaji kamke kangu
Nataka nioe mmoja wapo na uhakika hamjaolewa nyie,Mwanamke aliolewa usiku hawi free kama nyie
Ndiyo uchangamkie sasa cute....mwenzio sijawahi kuwa single😉
HahahahahaNdiyo uchangamkie sasa cute....mwenzio sijawahi kuwa single😉
🤣🤣🤣 🥴Hahahahaha
Home na usiku wa mananeMkesha wa pasaka , tunasali wapi ?
Kwa Haya majina mapya wakati ni old school ? Apa ni 0Ndiyo uchangamkie sasa cute....mwenzio sijawahi kuwa single😉
Vzr sanaHome na usiku wa maneno
HahahahahaKwa Haya majina mapya wakati ni old school ? Apa ni 0
🤣🤣🤣afu ana maneno mengii....sasa kama nawe una maneno mengi hapo lazima mtoane machoKwa Haya majina mapya wakati ni old school ? Apa ni 0
Mi ninae mkuu sema kuna muda mnajikuta wote mpo lindoni☺️Sio kukuda mzuri, ikiwemo To yeye wewe, Winnone na Hope urassa ebu mnijibu maana nahisi nina uhakika hamna waume na nmewadondokea
Ndio nmewaambia sasa , nakuja PM kwa maelezo zaidi🤣🤣🤣afu ana maneno mengii....sasa kama nawe una maneno mengi hapo lazima mtoane macho
Acha uongo ntakununulia PC tumeni namba zenu hapa kwa intro nawatumia hela ya siku kuu laki kila mmoja wenuMi ninae mkuu sema kuna muda mnajikuta wote mpo lindoni☺️
🤣🤣🤣afu ana maneno mengii....sasa kama nawe una maneno mengi hapo lazima mtoane macho
Mh ebu niacheMnajishaua nini wewe to yeye haujibu PM ntakusaidia kulea watoto wako ,na we hope Urassa eti hutaki usimbufu na unanambia nije live na I'd ya zamani unataka ugundue nini