🤣Nikajua ndio umeshajiegeshaWengine tulienda kuoga
🤣🤣🤣🤣Kama yeye kaoga na Mariah Carey atakuwa kafanyaje?na sabuni yako ya kipande na kopo la maji la kubeba mkononi unasema unaoga? hapo unakoga tu huogi Vin😂😂😂😂
Vincenzo Jr tutake radhi mdogo wetu, unavyotuchanganyia kuoga na kukoga 😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😁 umesimamama na kindoo chako umekaza misuli unasema unaoga 😂🤣🤣🤣🤣😁🤣🤣🤣🤣Kama yeye kaoga na Mariah Carey atakuwa kafanyaje?
Dah 😂🤣😁🤣Nikajua ndio umeshajiegesha
Kumbe Kuna kuoga?na KUKOGA?🤣🤣🤣🤣🤣🤣...Vincenzo Jr tutake radhi mdogo wetu, unavyotuchanganyia kuoga na kukoga 😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😁 umesimamama na kindoo chako umekaza misuli unasema unaoga 😂🤣🤣🤣🤣😁
Na maji yenyewe huku kigamboni ya shida ni balaaa sana hapa 😂🤣🤣😂 mwezi ujao dawasa siwapi pesa yangu Bora nikaoge baharinina sabuni yako ya kipande na kopo la maji la kubeba mkononi unasema unaoga? hapo unakoga tu huogi Vin😂😂😂😂
Famchezo na kulala wewe?Huku Tz ni mwendo wa kujiegesha tu🤣🤣Dah 😂🤣😁
😁😁😁😂😂😂 ndiwoo wengi tunakoga, wateule wachche ndiyo wanaoga 😂😂😂😂🤣🤣🤣Kumbe Kuna kuoga?na KUKOGA?🤣🤣🤣🤣🤣🤣...
😁🤣😂🤣😁Famchezo na kulala wewe?Huku Tz ni mwendo wa kujiegesha tu🤣🤣
Naunga mkono hoja 🤣😁😁😁😁😂😂😂 ndiwoo wengi tunakoga, wateule wachche ndiyo wanaoga 😂😂😂😂🤣🤣🤣
Hakika,waogaji ni wachache mno,Mtu anaoga masaa matatu kajiloweeka wee na shower gel na maji ya uvuguvugu pembeni ana wine,kawasha mishumaa ya kunukia halafu anasikiliza blues,Wakogaji Sasa na makopo yetu,kipande Cha jamaa mixer doffi ,unaanza tu kopo la kwanza Mende huyo kapanda mguuni,unaruka unaparamia tumaji twenyewe twa chumvi halafu nusu ndio tunamwagika tunabaki robo ndoo,hapo ni chap chap dakika mbili na sekunde 47 uko nje umeSHAKOGA😂😁😁😁😂😂😂 ndiwoo wengi tunakoga, wateule wachche ndiyo wanaoga 😂😂😂😂🤣🤣🤣
Tuko break,hata taarifa ya habari Ina matangazoNyie mtakuwa mmetelekezwa na wapenzi wenu; haiwezekani ubavu wa kushoto uwepo karibu alafu wewe uwe lindo!