JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

umeanz kubonga kiluga ili tusielewe

Na sijamuelewa kweli
emoji38.png
emoji38.png
niwacheni mimi
 
Kuna vijan humu yaani kila kitu mama 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kuna mmoja anasemaga " nabubujikwa na machozi kwa huu upendo wa mama ....""

Alafu ana comment hivo katika uzi ambao ... 😂😂😂😂😂
Dah ndugu yangu naomba unitolee taarifa kwa bro kama sitokuwepo maana mama wa mtu naona kashaka kwenye target Yan mtu ......."anabubujikwa na machozi kwa upendo wa...........
 
Back
Top Bottom