JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Mmmmh hapo nazungumzia ya mafuta...
Kwani yakutembelea anayo mengi pia πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Mpaka mbwa wanayo ya kutembelea, anayo mengi sana. Fake P harudiagi gari, haijawai kutokea akarudia kutumia gari moja, akishatumia mara moja anatupa funguo.
 
siwez kuyaoga dada atanitetea[emoji1787][emoji1787]....... lazima awe kigeu geu tulifunzwa kuto kusalitiana sisi ni nduguu[emoji854][emoji854]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ Time will tell us

Lamomy please hapo kwa wizo naomba na mimi unitetee...
Yaaniiii kuongea siwezi kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mnyakyusa mwenzangu huyo..sijui kwanini katika wengi yeye mmoja wapo niliyechagua kumweshimu.But no worry kama kuna sehemu umeona nimepunguka na sijawatendea haki I swear hutoona hiyo shida tena.I jst respect you allπŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
leo umenionyesha unyaki live live.. hujawahi kupunguka kwangu mumy hizi I'd tu
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
usifanye hivyo bhana utanipa unyonge we chepuko la sameja
 
Mpaka mbwa wanayo ya kutembelea, anayo mengi sana. Fake P harudiagi gari, haijawai kutokea akarudia kutumia gari moja, akishatumia mara moja anatupa funguo.
Half american wee sio chawa sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwa kucheka huku ntaonekana chizi
 
Tajiri tajiri tajiri
Nimekuita mara tatu aiseeeee

Tajiri anao mpaka masameja na wakili bila shaka unae

Half american wee sio chawa sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwa kucheka huku ntaonekana chizi
Leo Fake nimekutana na original mamaeeee
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
pwagu na pwaguzi mmeupiga mwingi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] Time will tell us

Lamomy please hapo kwa wizo naomba na mimi unitetee...
Yaaniiii kuongea siwezi kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

hakuna kutetewa lazima uchangamshwe saw kijana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Half american wee sio chawa sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwa kucheka huku ntaonekana chizi
Kazi tunao akina sisi tunaorudia nguoπŸ˜‚ Fake P yeye gari harudii, Ee mola tujalie wana wako tuwe na angalau robo ya maisha kama ya Fake P

Sema AMEEN!!
 
Back
Top Bottom