Mimi ni mtunzi hivyo nimesema itaendelea kesho part 2.Haaaaaaaa malizia bwana..
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
nashukur bro wewe najua utapambana mbele kwa mbele.
usi sinzie sasa
Na wewe unataka iendelee?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
jamaniii
iendelee now bas
Kwa wengine eti? Kama ni kwangu sitaki sina damu za kuwapa mizimu ha ha ha haNgoja nikafukunyue mafaili ya miaka kadhaa..
eeehNa wewe unataka iendelee?
Huyu mbaya yaani . wewe umeshazika umesahau miaka imesonga Leo unakuta maiti ipo juu kama siyo nuksi nini.teh teh
sasa mwenzangu DA kwani na wewe ulikuwa umefukia makaburi mengi kias hiko?
Mondray ameshaondoka hivyo itaendelea kesho akiwepo.eeeh
unatufanyia kama jamaa wa bongo muvies vile huuza part two B
aaah of koz huwez kukubali kuwa unawaza mtu its okey.Hapana siwazi mtu kufikia hatua ya kukosa usingizi .
Labla kuna kitu nakiwaza mkuu.
Gubigubi unajifunika blanket hadi usoni.
hahahaHuyu mbaya yaani . wewe umeshazika umesahau miaka imesonga Leo unakuta maiti ipo juu kama siyo nuksi nini.
Makaburi kadhaa tuu
Hahahha kwa nini nisikubali. Siwezi poteza usingizi kwa ajili ya mtu boss. Bado sanaaa.aaah of koz huwez kukubali kuwa unawaza mtu its okey.
anhaaa! hahaha bas cha kufanya hapo uvue nguo zote ndio ulale, usingizi huja fasta hivo.
anhaaMondray ameshaondoka hivyo itaendelea kesho akiwepo.
Hahahaha . kufukua makaburi ni kosa atalambwa ban.hahaha
kuna kaburi alifukua jana asee nilijukuta nakuwa interested, kama kuna mengine zaid inabid afukue tuyasome bhas
Akasema ukimaliza umwite hahaha . exileanhaa
lakin yeye kasema enda jukwaa la vichekesho tu hapo
aaahHahahha kwa nini nisikubali. Siwezi poteza usingizi kwa ajili ya mtu boss. Bado sanaaa.
Nivue Mara mbili? Ha ha ha
hahahahaHahahaha . kufukua makaburi ni kosa atalambwa ban.
Lile la Jana hatari tupu kaniletea balaa Mimi.
Asirudie. Au na Mimi nikamfukue
hahahaaAkasema ukimaliza umwite hahaha . exile
Ulizipita ukiwa na umri gani? Tuanzie hapaaaah
bas Malaika hapo huna uzoefu inatakiwa upitie hizo stage ndio ukomae, mi nshawahi umwa kabsa, sema hizo stage nisha vuka kwa sasa.
ooh umevua kumbe, ndio maana naona napata ka attraction ka kuendelea kuchat [emoji39] [emoji39] [emoji39]
si miaka nyingi sana imepita,Ulizipita ukiwa na umri gani? Tuanzie hapa
Zamani enzi za ... Basi nilikuwa nikienda kuwasalimia "mshikaji" wenzake wakianza kuondoka nilikuwa nalia awabembeleza wasiondoke.hahahaa
utadhani ameniacha na wewe tuko geto halaf kaondoka na funguo.
a very korofi kid huyu Ray vanny