Marahaba.Shangazi shikamoo 😄
Kwa uongeaji huo, sidhani kama ana uvulana wakeSafi...life is too short...usiogope we kuwa makini tu
Trust me or not, ni hivyo kiukweli 😄Kwa uongeaji huo, sidhani kama ana uvulana wake
Anatutishia nyau tu hapa
Serious mi mdogo kweli, ila kingine mambo mengi shangazi.Marahaba.
Unamlindia nani uvulana wako wewe mtoto?
Trust me or not, ni hivyo kiukweli 😄
Okay, hapo nimekuelewaSerious mi mdogo kweli, ila kingine mambo mengi shangazi.
Sitaki mistake za my previous life, kwa tunao amini lakini🏃
Ukija uku unaanza kusinzia mchana. Usiku unakesha. Sijui kwa English ndio Jet Lag hiyo au? 🤣🤣Huku niliko ni saa 9 usiku.
Na sina dalili ya usingizi.
Ngoja mwezi ujao nirudi Tz tu.....
HahahahahaUkija uku unaanza kusinzia mchana. Usiku unakesha. Sijui kwa English ndio Jet Lag hiyo au? 🤣🤣
Mapambano yaendelee. Tuletee mazaga zaga kutoka uko.Hahahahaha
Inanipaga tabu kidogo kuzoea
Ila nyumbani ni nyumbani tu boss.
Ma-Diaspora hapa ndo patamu
Usiwaze....Mapambano yaendelee. Tuletee mazaga zaga kutoka uko.
🤣🤣🤣🙌🏿Napenda sana wavulana bikra.
Mwambie shangazi natafuta wa kula nae urithi
Mie mwenyewe siamini...jitahidi ili uje unithibitishie mom🤣🤣😉Kwa uongeaji huo, sidhani kama ana uvulana wake
Anatutishia nyau tu hapa
🤣🤣hakuna shida subiri wakati wako mkuuTena yakiwa rahisi ndo naogopa Sana😀🤓
Ngoja nimsakaranye, nitakupa update kipenzi..Mie mwenyewe siamini...jitahidi ili uje unithibitishie mom🤣🤣😉
Shangazi hafaibkwa mchuzi au kurumangia😄🤣🤣🤣🙌🏿
Aisee hizi njama, waku niokoa ni Fake P 🤓😄Mie mwenyewe siamini...jitahidi ili uje unithibitishie mom🤣🤣😉
Shangazi Sio vizuri, mtoto wa mwenzio ni mwanao ujue😂Ngoja nimsakaranye, nitakupa update kipenzi..
Sawa love✌️Ngoja nimsakaranye, nitakupa update kipenzi..
aisee teacher una msnitch mwanafunzi 😄😂Sawa love✌️
Toka, kwendaNikiwa billionaire, Nita kununulia mgao wa hisa 2000 za amazon 😂
DuhAsanteni kwa kunikumbuka🙏🏻