JamiiForums Usiku wa manane

Dah hii baridi kidogo unaweza uza mechi. Nachoweza washauri vijana, kabla ya kutoka out, wafikirie ndugu zako, wazazi na wadogo zako kwanza. Asanteni.
Hisia ni mzigo mbaya Kwa kijana, huu Uzi nili uandika Mmu.
Ila hii kauli utakuwaa Usha uza mechi wee๐Ÿ˜๐Ÿ˜.

Ngono SI salama, Mimi kuliko kwenda kiwanja Bora nipike au niende restaurants nikale msosi mzuri.
 
Dah hii baridi kidogo unaweza uza mechi. Nachoweza washauri vijana, kabla ya kutoka out, wafikirie ndugu zako, wazazi na wadogo zako kwanza. Asanteni.
Hili baridi limenifanya nashindwa kukesha hapa Mkuu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜
 
Hisia ni mzigo mbaya Kwa kijana, huu Uzi nili uandika Mmu.
Ila hii kauli utakuwaa Usha uza mechi wee๐Ÿ˜๐Ÿ˜.

Ngono SI salama, Mimi kuliko kwenda kiwanja Bora nipike au niende restaurants nikale msosi mzuri.
Nipo hapa kila nikiowaona mafundi seremala nahisi wananiandalia mimi jeneza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ