Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
Duh poleni sanaaKampuni kabisa ya ulinzi tumaiajiri, sasa sijui na hizi mvua walinzi walienda kujificha? Au ndio hivyo tena usiku wa manane walilala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh poleni sanaaKampuni kabisa ya ulinzi tumaiajiri, sasa sijui na hizi mvua walinzi walienda kujificha? Au ndio hivyo tena usiku wa manane walilala
Kaka 😁😅😁😁😁😂😂
Zee Lina sinzia ka konokono😁🤓Majukumu ya kazi yanazidi kuongezeka. Muda wa kutumia simu unazidi pungua. Leo tutakua pamoja mkuu
Zee Lina sinzia ka konokono😁🤓, ngoja tuone Leo😁Majukumu ya kazi yanazidi kuongezeka. Muda wa kutumia simu unazidi pungua. Leo tutakua pamoja mkuu
Leo tutakua wote🏃Zee Lina sinzia ka konokono😁🤓, ngoja tuone Leo😁
😃😃😃Aah bado upo hai mzee🙌Kaka 😁😅😁😁😁😂😂
Story ndefu kamanda.. acha tu.. ila tulikua lindo la Chaka
MvuA hizi kaka zinafanya nisiwe mlinzi naishia kuhudumia mtoto wa mtu usiku kucha kaka 😂😁😃😃😃Aah bado upo hai mzee🙌
Ko uli ingia viwanja ??, kitambaa au Juliana??Story ndefu kamanda.. acha tu.. ila tulikua lindo la Chaka
Dah hii baridi kidogo unaweza uza mechi. Nachoweza washauri vijana, kabla ya kutoka out, wafikirie ndugu zako, wazazi na wadogo zako kwanza. Asanteni.Ko uli ingia viwanja ??, kitambaa au Juliana??
Hisia ni mzigo mbaya Kwa kijana, huu Uzi nili uandika Mmu.Dah hii baridi kidogo unaweza uza mechi. Nachoweza washauri vijana, kabla ya kutoka out, wafikirie ndugu zako, wazazi na wadogo zako kwanza. Asanteni.
Hili baridi limenifanya nashindwa kukesha hapa Mkuu😂😁Dah hii baridi kidogo unaweza uza mechi. Nachoweza washauri vijana, kabla ya kutoka out, wafikirie ndugu zako, wazazi na wadogo zako kwanza. Asanteni.
Yaani bora ushinde hapa mzee.Hili baridi limenifanya nashindwa kukesha hapa Mkuu😂😁
Nipo hapa kila nikiowaona mafundi seremala nahisi wananiandalia mimi jeneza.Hisia ni mzigo mbaya Kwa kijana, huu Uzi nili uandika Mmu.
Ila hii kauli utakuwaa Usha uza mechi wee😁😁.
Ngono SI salama, Mimi kuliko kwenda kiwanja Bora nipike au niende restaurants nikale msosi mzuri.
Kisa nini 🤔??Nipo hapa kila nikiowaona mafundi seremala nahisi wananiandalia mimi jeneza.
😂😂😂Kaka mkamwacha Intelligent businessman kalalamika usiku kucha🤣MvuA hizi kaka zinafanya nisiwe mlinzi naishia kuhudumia mtoto wa mtu usiku kucha kaka 😂😁
Sija lalamika, coz Mimi ni Mlinzi ieshinla mtu 1.😂😂😂Kaka mkamwacha Intelligent businessman kalalamika usiku kucha🤣
Umewaza nini chiefDunia ingekua na option kama simu, unaamua uweke dark mode wewe kwako masaa 24 ni giza tu.