Kwa sasa tuna vijana wa hovyo sana kuwahi kutokeaKuna Mzee hapa u joblesini, ana semaga you youth don't give.a shit about any terrifying thing😂😁.
It depends una zungumzia wapi, on my side naona changes kubwa mkuu.Kwa sasa tuna vijana wa hovyo sana kuwahi kutokea
Hongera sana mkuuIt depends una zungumzia wapi, on my side naona changes kubwa mkuu.
Hongera ya nini mkuu??Hongera sana mkuu
Hilo neno, Hilo neno 😁🤔Wakubwa tuendelee kuwa wazalendo katika taifa letu
Taifa haliwezi jengwa na vijana wanaolala saa sita, population ya Taifa itaongezekaje?mida ya kutiana mimba nyinyi Mmelala hiyo nguvu mnaipata wapi jamani?hebu tuige mfano wa china....usiku ni muda wa uzalishaji viwandani pia nyie mnalala?Shime amkeni tulijenge taifa Vincenzo Jr Fake P Half american Intelligent businessman nilikuwa half timeWakubwa tuendelee kuwa wazalendo katika taifa letu
nyie ndo mnaotukabaga usiku..Taifa haliwezi jengwa na vijana wanaolala saa sita, population ya Taifa itaongezekaje?mida ya kutiana mimba nyinyi Mmelala hiyo nguvu mnaipata wapi jamani?hebu tuige mfano wa china....usiku ni muda wa uzalishaji viwandani pia nyie mnalala?Shime amkeni tulijenge taifa Vincenzo Jr Fake P Half american Intelligent businessman nilikuwa half time
Baridi lilinibebaTaifa haliwezi jengwa na vijana wanaolala saa sita, population ya Taifa itaongezekaje?mida ya kutiana mimba nyinyi Mmelala hiyo nguvu mnaipata wapi jamani?hebu tuige mfano wa china....usiku ni muda wa uzalishaji viwandani pia nyie mnalala?Shime amkeni tulijenge taifa Vincenzo Jr Fake P Half american Intelligent businessman nilikuwa half time
🤣🤣🤣🤣🤣Dah,nishakuwa mwanganyie ndo mnaotukabaga usiku..
Pole, kuna siku utakuta wajuba wamevunja ATM wameondoka na goboleBaridi lilinibeba