Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
naibuka lindoni, naona una piga makelele, Nika jua Leo zee kaamua.Niliona cha mno nini ππ
Tena Nita nunua machine ya kufulia kutoka Samsung πThat's nice, sio yale ukifua mara mbili unakuta yameshapauka π
Hahaha...... kwahiyo nawewe huwezi kupikwa Mkuu?wenzio Wana pikwa kwenye pipa, we Kama waweza mi nitakuwa mpiga Sera wakoπ
Acha uhuni mzeeπ, zama hizi sio za kuinama kidhembe π€£Hahaha...... kwahiyo nawewe huwezi kupikwa Mkuu?
Mtaka cha uvunguni sharti ainame
Vijana mna mambo π πAcha uhuni mzeeπ, zama hizi sio za kuinama kidhembe π€£
Mzee nime cheka Sana π, Jamaa Ali ona mbali Sana, π€£.Vijana mna mambo π π
Mwaka 47 tukiwa tunajifunza Methali na Nahau
Tulikuwa tunasoma na Mhindi mmoja, alipoulizwa na Mwalimu hiyo methali ya Mtaka cha Uvunguni ......jamaa akajibu sharti unyanyue Kitanda π
Ingekuwa miaka yenu hii ningesema lile jibu alitoa Intelligent businessman mwenye uraia wa Bombay π
π π π πMzee nime cheka Sana π, Jamaa Ali ona mbali Sana, π€£.
Wahuni sio watu kabisaππ
Ifike mahala wazee tupewe muda wetu spesho wa kupumzika. Sema nilivyoona vijana mpo nikaona nibwage manyanganaibuka lindoni, naona una piga makelele, Nika jua Leo zee kaamua.
Kuja kucheki ni vumbi tu π π€£
Lindo nime funga mwenyewe, hakukuwa na mlinziz yoyoteππ€£Ifike mahala wazee tupewe muda wetu spesho wa kupumzika. Sema nilivyoona vijana mpo nikaona nibwage manyanga
Walinzi wa siku hizi waoga tu saa sita washalalaππLindo nime funga mwenyewe, hakukuwa na mlinziz yoyoteππ€£
Waoga Sanaππ€£, Jana nili mesa dawa fulani kumbe Zina sababisha usingizi hatari.Walinzi wa siku hizi waoga tu saa sita washalalaππ
Imenibidi mzee nirudi lindoni kwa kasi kubwaWaoga Sanaππ€£, Jana nili mesa dawa fulani kumbe Zina sababisha usingizi hatari.
Nakuona Cha Moto hapa ππ€£, ime bidi niwe nakunywa maji kwa wingi.
Au basiπunataka kumaanisha?[emoji23]
Mtoto amewaka π₯kimkakati sana mission inasomeka jina gani
Utaelewa tu mbona we mzima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unataka kumaanisha?[emoji23]
nipo pembeni yako mkuuMtoto amewaka π₯