Ame achiwa ππ€£Jamaa Mara ya mwisho niliona anatumikia kifungo
Miaka 2 ita kuwa mbaya sana??, na mahari huwa ngapi??Uchumba inategemea
Miaka ya zamani Uchumba ilikuwa Mwaka mmoja ama miezi tu
Miaka 2 ya Uchumba sio mbaya iwapo sababu zinajulikana.Miaka 2 ita kuwa mbaya sana??, na mahari huwa ngapi??
Tuanzie hapo kwenye ku onja onja, mbona wengi wamesha onjwa Sanaππ€£.Miaka 2 ya Uchumba sio mbaya iwapo sababu zinajulikana.
Ila Kiutaratibu hutakiwi kuanza kumuonja onja huyo Bibie hadi mbariki Ndoa kabisa.
Unaweza kumuonja onja ukamjaza Kitambi then ukajikuta anaharibu Mipango.
Suala la mahari nafikiri linazungumzika, ongea na huyo Mchumba ako umueleze ungeweza kumudu kulipa kiasi gani
Vinginevyo unaweza kujikuta unalipa milioni 10 ππ
Nadhani ita kuwa hivyo, ngoja aki kubali tuta enda bargain mahariππMiaka 2 ya Uchumba sio mbaya iwapo sababu zinajulikana.
Ila Kiutaratibu hutakiwi kuanza kumuonja onja huyo Bibie hadi mbariki Ndoa kabisa.
Unaweza kumuonja onja ukamjaza Kitambi then ukajikuta anaharibu Mipango.
Suala la mahari nafikiri linazungumzika, ongea na huyo Mchumba ako umueleze ungeweza kumudu kulipa kiasi gani
Vinginevyo unaweza kujikuta unalipa milioni 10 ππ
Jitahidi uwe na expert mzuri wa ku-bargainNadhani ita kuwa hivyo, ngoja aki kubali tuta enda bargain mahariππ
Hahaha............. kuonja/kuonjwa π πTuanzie hapo kwenye ku onja onja, mbona wengi wamesha onjwa Sanaππ€£.
halafu hiyo mahari milioni 10 aisee, toka utotoni tume nunua vitu used, nguo used, sabufa used.
Na mke nae used π€£π€£π€£
mzee huo ni uoga wa kuongea π€π€£, sio kwamba sito weza kutoa 10.Hahaha............. kuonja/kuonjwa π π
Ukimkuta sealed mahari ya milioni 10 itakuhusu, maana wenzio tulilipa ng'ombe 200 kwa Bibi yenu π€
Nina wazee marafiki, kila jioni huwa tuna kutana kupata maziwa, vitumbua vya mayai na hata story 2-3.Jitahidi uwe na expert mzuri wa ku-bargain
Ukiokoa milioni 1 ama 2 za mahari zitakusaidia kwenda kununua uwanja sehemu
Wewe una DNA ya ubahiri, ndiyo maana nilipata mashtaka ya elfu 3 πmzee huo ni uoga wa kuongea π€π€£, sio kwamba sito weza kutoa 10.
But why should I lose 10 kirahisi,π€£
Hapo sawa, walau hutajiunga kwenye kikosi cha Kataa Ndoa πNina wazee marafiki, kila jioni huwa tuna kutana kupata maziwa, vitumbua vya mayai na hata story 2-3.
Hii team ni zaidi ya extra ordinary π€π€£
Wote wame oa na Wana watoto, so kila siku ni kuni sema mimi aisee π€£
Aiseeπ€£, Kama ubahili ni kusimamia misimamo yako, basi acha wani nyonge tuπ€£Wewe una DNA ya ubahiri, ndiyo maana nilipata mashtaka ya elfu 3 π
We shall see π, ume sahau Mimi ni katibu mwenezi wa kataa ndoa ππ€Hapo sawa, walau hutajiunga kwenye kikosi cha Kataa Ndoa π
too early00:00 in advance