JamiiForums Usiku wa manane

Ila mnaoweza kutulia au kupuyanga kwenye viwanja vya starehe mpaka muda huu nawanyoshea mikono 🙌
Ukianzia Kidimbwi ukaja Juliana ukaona Ubolt uibuke Tips .... Ukasema acha nimalizie wavuvi Unakumbuka mara 1245 Hujatulia Unasema acha nmalzie Kitambaa nikalale ..... Kitambaa Unaskia small planet pana vibe la alfajiri Aaah unawaza niende Tabata ila Mbona Pameshakucha!!!
 
Hapo bado starehe pendwa ya Adam na Hawa hujaipata😆😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…