To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Bado bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado bhana
Mimi nina kazi leo... Silali ila nitakuwa nasua suabado bado aisee
Ok, si huwa mnasema hivo tu kina mshamba utashangaa huwaoni tena😂Bado bhana
somo gani?Mimi nina kazi leo... Silali ila nitakuwa nasua sua
Kazi ingine? ? Mimi ndo najiandaa kuingia kazini lindoniMimi nina kazi leo... Silali ila nitakuwa nasua sua
🤣🤣🤣Bada dk 31Ok, si huwa mnasema hivo tu kina mshamba utashangaa huwaoni tena😂
Computer network... Af kesho saa mbili tu kusubmitsomo gani?
Computer network... Af kesho saa mbili tu kusubmitsomo gani?
Ufanyeje, ulale au uje kazini..🤣🤣🤣Bada dk 31
tumia chatgpt weweComputer network... Af kesho saa mbili tu kusubmit
Tutakuwa wote...Kazi ingine? ? Mimi ndo najiandaa kuingia kazini lindoni
Tayari... Sema nataka nivipitie maana ni practical c unajua mambo ya field...tumia chatgpt wewe
CA mtelezo tuu
Wewe ni poor brain?Tayari... Sema nataka nivipitie maana ni practical c unajua mambo ya field...
Umeotaje ndugu yangu😁0111 Dah ndoto nyingine znatisha sana
Acha tu , staki hata kulala tena😂Umeotaje ndugu yangu😁
🙄yani usilale kisa ndoto ?Acha tu , staki hata kulala tena😂
Ndio🙄yani usilale kisa ndoto ?
Hauna usingizi itakua 😁😁Ndio
Sina umeisha piiiHauna usingizi itakua 😁😁