JamiiForums Usiku wa manane

hii ni kweli mkuu..?
Mkuu nakupa dawa ya sisi wasafiri unauliza hii ni kweli tena?madereva wa masafa marefu mara nyingi wanakua na coca hiyo chumvi anajua ataipata popote kwenye vijiji akitingwa sana..ukinywa hiyo reaction inayotokea tumboni hata uwe na tatizo gani hautaenda tena chooni..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…